Mkuu
wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Yanga, Jerry Muro leo
ameendeleza shombo zake kwa vitendo dhidi ya watani wao Simba.
Muro
alikuwa akiongoza kikundi kidogo cha mashabiki wa Yanga kuwazomea Simba
waliokuwa wanapambana na Coastal Union katika mechi ya Kombe la
Shirikisho.
Alichokuwa akifanya ni kuwazomea na kuwaambia wanayaanga mashindano hayo, kweli wakafungwa kwa mabao 2-1 na kutolewa.
Ajabu, Muro alianza kumwambia mwamuzi Mahagi kutoka Mwanza, eti "refa time" katika dakika ya 86.
Siku
mbili zilizopita, Muro amekuwa akitamba Simba haitapa Kombe la
Shirikisho wala ubingwa wa Bara kwa kuwa waliizomea Yanga wakati
ikimenyana na Al Ahly.
0 comments:
Post a Comment