Naamini
unajua nembo kuu ya klabu ya Coastal Union ni mbwa, ndiyo hao
waliomuangusha myama, Simba kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
kwa kumchapa mabao 2-1, leo.
Ilikuwa mechi ya Kombe la Shirikisho, Simba ikalala kwa Coastal Union ambayo ni dhoof lhali katika Ligi Kuu Bara.
Lakini ikaonyesha makali kwa kuichapa Simba kwa mabao 2-1 na kusonga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho.
0 comments:
Post a Comment