NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Simba hoi kwa Cost Union


Naamini unajua nembo kuu ya klabu ya Coastal Union ni mbwa, ndiyo hao waliomuangusha myama, Simba kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwa kumchapa mabao 2-1, leo.

Ilikuwa mechi ya Kombe la Shirikisho, Simba ikalala kwa Coastal Union ambayo ni dhoof lhali katika Ligi Kuu Bara.

Lakini ikaonyesha makali kwa kuichapa Simba kwa mabao 2-1 na kusonga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho.
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment