Mshambuliaji
wa Real Madrid, Mreno Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia
timu yake mabao yote katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Deportivo La Coruna
katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi. Kwa mabao hayo, Ronaldo
ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kihistoria kufunga mabao zaidi
ya 50 kwa misimu sita mfululizo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment