NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Safari Ya Mwisho Ya Mtoto Wa Issa Michuzi Maggid Muhidini Michuzi

Baba wa marehemu (mwenye kofia), Issa Michuzi akipewa pole na baadhi waombolezaji mara baada ya maziko ya mtoto wake Maggid Muhidin Michuzi (18) yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana.

Waziri Mkuu mstaafu, Joseph Sinde Warioba akimpa pole Issa Michuzi.
Rais Mstaa mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete akiagana na Issa Michuzi.
Issa Michuzi (mwenye kofia) akifuatiwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete (kulia kwake) na viongozi wengine wa serikali wakati maziko.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Mhandisi John Kijazi akiweka udongo
Mke wa Rais mama Janeth Magufuli (kulia) akiwa na baba wa marehemu.
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment