Mshambuliaji
wa Barcelona, Luis Suarez akiruka hewani kushangilia baada ya kuifungia
timu yake mabao yote matatu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Granada
kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Nuevo Los
Carmenes. Ushindi huo umeifanya Barca kufikisha pointi 91 baada ya
kucheza mechi 38 na kutwaa ubingwa wa La Liga, wakiwazidi kwa pinti moja
mahasimu, Real Madird PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment