NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Ni Chile na Argentina tena fainali Copa America 2016

3592804800000578-0-image-a-3_1466644111283
Nusu Fainali ya michuano ya Copa America imechezwa alfajiri ya leo Uwanja wa Soldier Field mjini Chicago,Chile imeifunga Colombia kwa bao 2-0 kwenye mchezo huo na itakutana na Argentina kwenye mchezo wa fainali June 27/2016 kwenye uwanja wa MetLife mchezo wa fainali unaozikutanisha tena timu hizo baada ya mwaka mmoja.

Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment