NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Picha 15 za Jay Z na Beyonce wakila bata katika visiwa vya Hawaii

Baada ya kuwa na ratiba ngumu ya kufanya tour ya muziki, Jay Z na mkewe Beyonce pamoja na mwanao Blue Ivy Carter wameenda katika visiwa vya Hawaii Marekani kwa ajili ya mapumziko.

Hivi karibuni Beyonce alimaliza tour yake ambapo katika moja ya matamasha aliimba wimbo wa Halo akiwakumbuka wale wote waliopoteza maisha katika shambulio la Orlando Marekani.
Zitazame hapa picha 15 za wawili hao wakifanya yao huo Hawaii.

Beyoncé and Jay Z Can't Keep Their Hands Off Each Other During a Romantic Trip to HawaiiImageImageImageImageImageImageImageImageImageImageImageImageBeyoncé and Jay Z Can't Keep Their Hands Off Each Other During a Romantic Trip to HawaiiImage
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment