NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Picha :Oscar Pistorius atoa miguu ya bandia mahakamani kuonesha udhaifu wake

354D794C00000578-3642439-Humiliated_Oscar_Pistorius_teeters_pathetically_on_his_stumps_in-a-57_1465988014978
Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius Jumatano hii amelazimika kutoa miguu yake ya bandia ili kumuonesha jaji jinsi alivyo dhaifu na kwamba asingeweza kumuua mpenzi wake makusudi.
 
Kwenye kesi hiyo iliyokuwa ikioneshwa live kwenye TV, mwanariadha huyo alijaribu kutembea kwa tabu bila miguu hiyo.
354D9A8100000578-3642439-image-a-61_1465988332774
T-shirt yake ilikuwa imeloa kwa jasho na macho kuwa mekundu kutokana na kulia.
354D9BF500000578-3642439-image-a-70_1465989045064
Pistorius anakabiliwa na kesi ya mauaji ya mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013.
354D787700000578-3642439-Oscar_Pistorius_with_his_prosthetic_legs_visible_in_the_dock_hol-a-60_1465988015186
Kesi hiyo imeahirishwa hadi pale jaji atakapotangaza tena tarehe ya hukumu.
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment