Kutokana na kukithiri kwa ajali za barabarani ambazo ni uzembe wa
madereva serikali imetoa tamko la kusitisha huduma za usafirishaji kwa
kampuni mbili za mabasi Super Sami na OTA kwa kusababisha ajali
zilizopelekea vifo na majeruhi.
News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.
RELATED POSTS
Serikali yafungia makampuni mengine mawili ya mabasi
Reviewed by Newspointtz
on
13:38:00
Rating: 5
0 comments:
Post a Comment