Katika michezo kuna vitu vingi haswa
katika magoli kuna kitu kinaitwa ‘hat-tricks’ yaani mchezaji kufunga
magoli matatu kwa mchezo mmoja na zawadi yake kuondoka na mpira uliokuwa
unatumika katika mchezo huo, ili kutoa thamani kwa mfungaji.
Mchezaji wa zamani wa vilabu vya
Newcastle United, Liverpool na sasa Westham United aliifunga Arsenal
mwaka 2016 kwa kutumia dakika 7 ambapo mchezo huo umeisha kwa Arsenal
kuambulia sare ya 3-3.
Huyu mchezaji wa zamani wa Barcelona kwa
sasa anacheza MSL Marekani, ameweka rekodi yake mwenyewe hadi leo hii
hakuna aliyoivunja amefunga magoli 3 kwa dakika 4 mwaka 2005-2006
wakati huo anacheza Valencia.
Amefunga magoli 5 kwa dakika 8 na hakuna
aliye ivunja rekodi hiyo kwa ligi ya Bundasliga mwaka 2015, pia
amefunga magoli 3 kwa dakika 3 mwaka huo huo na mchezo huo huo kipindi
cha pili.
Kwa sasa ni mshambuliaji wa Liverpool
alifunga magoli 3 msimu wa 2015-2016 akiwa Sauthampton rekodi yake
hakuna aliyeivunja kwani alifunga magoli 3 ndani ya dakika 3 yaani
13,14,15 dhidi ya Aston Villa.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment