
Jumuiya hiyo ya Afrika Mashariki imeongeza miezi mitatu zaidi kuweza kusaini makubaliano ya kiuchumi kati ya Jumuiya hiyo na Jumuiya ya Ulaya kuweza kupata muda zaidi wa kuyapitia tena.


Rais wa Tanzania John Magufuli amebainisha kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki imeiomba EU kutoiadhibu Kenya ambao teyali wamesha saini mkataba huo
Tanzania na Uganda zimekuwa zikipinga mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya Umoja wa Ulaya (EU) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
0 comments:
Post a Comment