NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Lulu amuweka wazi mpenzi wake wa sasa

Baada ya kuka muda bila kumuweka maisha yake ya mahusiano hadhari hatimaye leo muigizaji wa bongo amepost picha yake akiwa na boyfriend wake.
Elizabeth Michael maarufu Lulu, empost picha kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika maneno haya 

Baba Na Mama Squad katika harakati za Mapozi haikuwa rahisi Na Yebo Yebo zangu Na kilemba…No make upSema Poa tu,Goodnight lovies”

Picha yenyewe halisi ndiyo hii
18
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment