Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano ,Profesa Makame
Mbalawa amesema Daraja la kigamboni litafunguliwa rasmi April 16 mwak a huu .
Amesema kazi inayoendelea sasa ni kupitisha magari maalumu
kwa ajili ya kupima ubora wa Daraja hilo ili kuridhishwa kabla ya kakabidhiwa
rasmi kwa Serikali.
Hata hivyo Profesa Mbalawa amewataka watumiaji wa Daraja
hilo kuwa waangalifu na kulinda miundombinu ya kuepuka vitendo vya hujuma ili
lidumu kwa muda mrefuu.
“Daraja hili lina urefu wa mita 640,Barabara sita,tatu
zinapanda na tatu zinashuka,hivyo tunawaomba wananchi watakaovuka kuzingatia
usafi na ustarabu”alisema Profesa Mbalawa
0 comments:
Post a Comment