NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

OMMY DIMPOZ: HAKUNA HAJA YA KUFICHA, SINA UKARIBU NA DIAMOND

Staa wa muziki wa bongo flava wanjera,baadae,ndagushima,tupogo nanai na ‘Achia Body’ Omary Nyembo ama anafahamika kwa jina la Ommy Dimpozi, ameongea urafiki wake na Diamond ulivyo sasa na ule wa zamani kuwa kwa sasa hayupo nae karibu.

Akiongea hayo kupitia bongo five katika mohojiano yake Dimpozi amesema haina haja ya kuficha ficha kuwa wapo karibu kwa sasa hayupo karibu nae lakini hana tatizo nae kwa maana hana ugomvi nae na wala hawakuwahi kugombana ila hali kama hiyo inatokea kwa mtu yoyote.

Huu  sio muda wa kuficha mambo wakati uhalisia unaonekana tulivyo sasa sio kama zamani sasa lakini hatuja gombana wala hatuna bifu mana kukuza mashabiki hawachelewi amesema Dimpozi

Alipo ulizwa kuhusu wanjera kuwa ndio chanzo cha ugomvi wao dimpozy amesema hapana haikuwa hiyo wala hakuna bifu ila hali ya kawaida kwa binadamu, na tukiona nana tun salimiana kama kawaida

kuhusu kuwa karibu na alikiba kwa sasa amesema huwa haegemei upande wowote kati ya wasanii hao maana unapo egemea upande mmoja ndipo watu wana kutukana na kuku elewa vibaya huwa hapendi kuegemea sehemu moja na kama bifu au chochote hiko chao yeye  anacho angalia utu na ubinadamu wala haingii katika bifu lao kama kweli lipo.

Credit: Bongo5
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment