Mbunge
wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, ameishtumu
Kamati ya Huduma za Jamii anayohudumu kuwa kuna baadhi ya Wajumbe
wamepokea rushwa.
Kutokana na shtuma hizo ameamua kumuandikia spika barua ya kujiuzulu na kumtaka achunguze na kuchukua hatua.
Hapo chini ni nakala ya barua yake aliyomwandikia spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
0 comments:
Post a Comment