Pamoja
na mafanikio mengi yanayoendelea kuongezeka katika sekta ya elimu
Manispaa ya Kinondoni haipo nyuma katika upande wa ujenzi wa maabara
ambapo katika ujenzi wa maabara
Manispaa hii imefanikiwa kuongeza
maabara ukilinganisha na mwaka 2011 /2012 kipindi hiki vyumba vya
maabara vilivyokuwepo ilikuwa 10 tu, kwa jitihada za manispaa chini ya
idara ya Elimu imeongeza idadi ya vyumba vya maabara 138.
Sambamba
na hilo kumekuwa na mafanikio ya ujenzi wa vyoo hivyo kufanya idadi ya
vyoo kuongezeka kutoka vyoo 67 2011/2012 mpaka vyoo 135
2015/2016.Kwaupande wa vyoo vya wanafunzi idadi imeongezeka kutoka606
2011/2012 hadi kufikiavyoo 682 2015/2016.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa mtandao wa Manispaa hiyo.
Moja ya muonekano wa vyumba vya Maabara za shule..
0 comments:
Post a Comment