MSHAMBULIAJI
WA YANGA, DONALD NGOMA AKITHIBITI MPIRA MBELE YA BEKI WA NDANDA FC
KATIKA MECHI YA ROBO FAINALI YA KOMBE LA FA. YANGA ILISHINDA KWA MABAO
2-1 KWENYE UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM NA KUTINGA NUSU FAINALI
WAFUNGAJI WA MABAO YAKE WAKIWA NI PAUL NONGA NA KELVIN YONDANI.
News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.
RELATED POSTS
Picha:Yanga ilivyoichinja Ndanda Fc 2-1 na kutinga nusu fainali Kombe la FA
Reviewed by Newspointtz
on
06:59:00
Rating: 5
0 comments:
Post a Comment