Mechi za Marudiano za Robo Fainali
ya michuano ya Uefa zinaendelea tena Jumanne na jumatano kwa michezo
minne, ambapo jumanne kutachezwa mechi mbili .
Manchester City watakuwa wenyeji wa Paris St-Germain katika dimba lao la Etihad na huko Santiago Bernabeu Real Madrid wako kwenye kibarua kigumu cha kugeuza kichapo cha 2-0 toka VfL Wolf-sburg walichokipata wiki iliyopita
Siku ya Jumatano Benfica watawakaribisha Bayern Munich ,na Atletico Madrid watakuwa wenyeji wa Barcelona.
0 comments:
Post a Comment