NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

PICHA 14: Shilole na Vanessa walipokutana kwenye Stage Usiku wa May 29 2016 Club Billcanas

Huenda wewe ulikuwa ni moja kati ya watu waliokuwa wameshtushwa na taarifazilizokuwa zimeenea wiki mbili zilizopita kuwa Vanessa Mdee na Shilole wana bifu, ukweli umejulikana usiku wa May 29 2016, kuwa haikuwa bifu bali ni promo ya show yao ya pamoja waliofanya usiku huo.
3X6A9861
Dakika chache kabla ya Show Vanessa Mdee akiwa backstage alinukuliwa akisema “Kiukweli haukuwa ugomvi bali tulijaribu kuwaonesha watu kuwa usiamini kila unachokiona kwenye mitandao, namuheshimu sana Shilole katika kazi zake, lakini baada ya sisi kufanya vile watu walionekana kama wanataka kuona sisi tukigombana”
3X6A9862
3X6A9876
3X6A9878
3X6A9879
3X6A9893
3X6A9894
3X6A9897
3X6A9898
3X6A9906
Vanessa alimsurprise Shilole On Stage kwa kumletea zawadi ya ugali kwenye stage
3X6A9914
3X6A9915
3X6A9919
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment