NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Show ya uzinduzi wa video mpya ya G Nako, Quick Rocka na Jux ‘Hapo’

Usiku wa 28 mtu wangu wa nguvu ni siku rasmi ambayo wasanii wa Bonfleva G Nako, Quick Rocka na Jux waliamua kufanya uzinduzi wa video ya ngoma yao waliofanya pamoja ‘Hapo’ uzinduzi ulifanyika Azura Beach kwa mastaa hao kufanya performance. Kama ulikosa time ya kwenda kuangalia uzinduzi huo, video ipo hapa mtu wangu
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment