Msafara
wa waziri wa sheria na katiba Dr. Harrison Mwakyembe jana ulipata ajali
baada ya gari lililokua limembeba Mkurugenzi wa mashtaka na makosa ya
jinai DPP Biswalo Mganga kupinduka katika kata ya Bwanga wilayani Chato
wakitokea mkoani Geita.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment