NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Picha: Real Madrid watwaa Ubingwa wa Super Cup dhidi ya Sevilla

Timu ya Real Madrid wametwaa taji la Super Cup ya UEAFA usiku wa August 9 2016 katika Uwanja wa Lerkendal mjini Rosenborg, Norway baada ya kuwafunga kwa Sevilla 3-2 ndani ya dakika 120.
370D357300000578-3732024-Real_Madrid_captain_Sergio_Ramos_celebrates_with_the_European_Su-a-22_1470779120794
Real iliyowakosa nyota wake kama Pepe, Gareth Bale na Cristiano Ronaldo, Mabao yalifungwa na Marco Asensio dakika ya 21, Nahodha Sergio Ramos dakika ya 90 na Dani Carvajal dakika ya 119, wakati ya Sevilla yalifungwa na Franco Vazquez dakika ya 41 na Yevhen Konoplyanka dakika ya 72.
370D3D1700000578-3732024-The_Real_Madrid_players_celebrate_on_Rosenborg_s_Lerkendal_Stadi-a-37_1470780133796
370CC3A500000578-3732024-image-a-3_1470775802102
article-3732024-370D6A8400000578-487_636x358
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment