NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

SIMBA WAANZA KULIA NA WACHEZAJI

 

SIMBA MPYA

Simba ipo nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi nne baada ya kucheza michezo miwili na kushinda mmoja huku ikitoa sare mwingine.

Hata hivyo, baada ya suluhu dhidi ya JKT Ruvu, baadhi ya mashabiki wa Simba walianza kuwalaumu wachezaji hasa wa kigeni na kocha Joseph Omog. 

 Tangu alipowasili nchini Omog ameiongoza Simba kucheza mechi nane zikiwamo za kirafiki na Ligi Kuu Bara. Katika michezo hiyo, Simba imepata ushindi  michezo mitano, imetoa sare miwili na kupoteza mmoja.

Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment