Bi,Somoe Mtiti ambaye alijipatia umaarufu mkubwa kufuatia ugunduzi wa wa gesi mkoani mtwara
mwanzoni mwa mwaka 2013 afariki dunia
Bi mtiti alikuwa mastari wa mbele katka harakati za
kupigania ujenzi wa Bomba la kusafirisha Gesi kutoka Mtwara hadi Dar es salaam
Akithibitisha kutokea kwa kifo cha Bibi yake Maulid Issa
alisema bibi yetu hatunaye tena hapa duniani kwa ametutoka na mungu amempenda
zaidi
“Kifu kimetokea jana majira ya alasiri na tumempoteza bibi
yetu ambaye katika kipindi hiki tulimuhitaji sana”alisema Issa
Bi Mtiti amezikwa leo
a amefariki dunia akiwa na miaka 109 ameacha watoto ,wajukuu na vitukuu
0 comments:
Post a Comment