Meneja wa Daimond ,Babutale akishirikiana na Kalapina
wamemchukua Chidi Benz na kumpeleka Life and Hope Rehabilition Organization
Bagamoyo kwa ajili ya kumsaidia kuacha matumizi ya madawa ya kulevya.
Hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni rapa huyo kuomba
msaada baada ya kuona ameshindwa kukabiliana na matatizo ya kiafya ambayo
yamekuwa yakimkabili
0 comments:
Post a Comment