NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Makamu wa Rais Bi Samia Suluhu Apiga Kura Visiwani Zanzibar


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi Samia Hassan  Suluhu amepiga kura viwasini Zanzibar  katika uchaguzi wa marudio unaofanyika leo. 

Bi Samia amrwapongeza wananncji wa Visiwa vya Zanzibar kwa  kukitokeza kwa wingi kupiga kura kuwachagua viongozi  wao. 

Amewataka Wanzanzibar kuwa watulivu mpaka  zoezi hili litakapokamilika na Matokeo  kutangazwa. 
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment