Bada ya kuonesha kiwango kizuri katika
michezo ya hivi karibuni mshambuliaji kinda wa Manchester united Marcus
Rashford mwenye miaka 18 amepewa ofa na timu hiyo ya paundi milion
15,000 mshahara huu utawahishwa mapema zaidi kama ilivyopangwa hii ni
kutokana na kipaji anacho kionehsa kinda huyo Manchester united
Kiwango hicho cha mshahara kitakuwa mara
15 zaidi ya kile anacho lipwa sasa Rshford ameonehsa kiwango kizuri
baabda ya kuanza kuifungia manchester united goli katika mchezo wa
Europa League na kuja kuifunga Arsenal magoli mawili ya haraka na lile
alilo weka rekodi ya kufunga katika Derby ya manchester city dhidi ya
Manchester United rekodi ambayo akiwa na miaka 18 hakuna mwingine alie
funga katika derby ya jiji hilo akiwa na umri huo katika historia ya epl
Rashford ni mwanafunzi picha zake
zilionekana akiingia na koti la manchester united shuleni hapo baada ya
kuifunga arsenal siku iliyo fuata pia inasemeka mchezaji huyu ana asili
ya pemba ingawaje Taarifa hzo bado hazija thibitishwa zipo katika
mitandao ya kijamii na jina wanalo muita watanzana ni Rashid Fuad. na
hii kutokana na wazungu kushindwa kuita Rashid Fuad na kumuita Rash-ford
News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.
RELATED POSTS
MAN U YAONGEZA MARA 15 ZAIDI MSHAHARA WA RASHFORD
Reviewed by Newspointtz
on
12:05:00
Rating: 5
0 comments:
Post a Comment