ARGENTINA YAIADHDIBU CHILE KUFUZU KOMBE LA DUNIA
Angel di Maria akishanfilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Argentina dakika ya nane, baada ya Felipe Gutierrez kutangulia kuwafungia weyeji dakika ya 11, kabla ya Gabriel Mercado kuwafungia wageni la ushindi wa 2-1 dhidi ya Chile mjini Santiago jana katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia
Referee: Heber Roberto Lopes (Brazil).
0 comments:
Post a Comment