Mashabiki walicheza ngoma zao kwa furaha kupongeza wachezaji na timu |
Wake kwa waume walijitokeza Uwanja wa Ndege usiku wa jana kuipokea Taifa Stars kwa furaha |
Katikati ni mwigizaji nyota, Dk Cheni akiwa na mmoja wa viongozi wa kikundi cha kuisapoti Taifa Stars, Papa Ziota (kushoto) |
Hadi ma- ustadh walikuwepo jana Uwanja wa ndege kuipokea Taifa Stars ya Tanzania |
Akina mama hawa waliwaacha waume zao vitandani kwa ajili ya Taifa Stars |
Vijana nao hawakuwa nyuma katika mapokezi hayo, waliacha starehe zote za kipindi hiki cha kuelekea Pasaka |
News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook
, Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.
0 comments:
Post a Comment