NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

PICHA:MASHABIKI WAIPOKEA KWA 'VISINGELI' STARS



Mashabiki wa kikundi cha kuisapoti Taifa Stars wakicheza kwa usiku wa manane jana Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam wakati wa kuipokea timu yao ya taifa ikirejea kutoka Chad ambako Jumatano iliwafunga wenyeji 1-0 katika mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017
Mashabiki walicheza ngoma zao kwa furaha kupongeza wachezaji na timu
Wake kwa waume walijitokeza Uwanja wa Ndege usiku wa jana kuipokea Taifa Stars kwa furaha
Katikati ni mwigizaji nyota, Dk Cheni akiwa na mmoja wa viongozi wa kikundi cha kuisapoti Taifa Stars, Papa Ziota (kushoto)
Hadi ma- ustadh walikuwepo jana Uwanja wa ndege kuipokea Taifa Stars ya Tanzania
Akina mama hawa waliwaacha waume zao vitandani kwa ajili ya Taifa Stars
Vijana nao hawakuwa nyuma katika mapokezi hayo, waliacha starehe zote za kipindi hiki cha kuelekea Pasaka
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment