Ligi Kuu ya Uingereza inataraji kuendelea leo kwa michezo mitatu.
Mchezo wa kwanza Manchester City itakuwa ugenini kuwafata Norwich City katika uwanja wa Carrow Road, mchezo unaotarajiwa kuchezwa majira ya saa 15:45 kwa masaa ya Afrika Mashariki.

Michezo mingine ni;
Bournemouth – Swansea City      18:00 EAT
Stoke City – Southampton 18:00 EAT