Ratiba ya Ligi Kuu ya Uingereza EPL leo Jumamosi, Machi 12
Ligi Kuu ya Uingereza inataraji kuendelea leo kwa michezo mitatu.
Mchezo
wa kwanza Manchester City itakuwa ugenini kuwafata Norwich City katika
uwanja wa Carrow Road, mchezo unaotarajiwa kuchezwa majira ya saa 15:45
kwa masaa ya Afrika Mashariki.
Michezo mingine ni;
Bournemouth – Swansea City 18:00 EAT
Stoke City – Southampton 18:00 EAT
0 comments:
Post a Comment