“Kwa nafasi yangu kama mkurugenzi,
taarifa nilizonazo ni kwamba tuna mikataba na wafanyakazi hao ambayo
inaisha leo tarehe 31.
Sehemu kubwa ya wafanyakazi wetu mikataba yao
inaisha mwezi huu, hivyo katika hali ya kawaida huwa tunatoa nafasi ya
kumwambia anayetaka kuendelea na mkataba aandike barua au aseme,”
alisisitiza Mutahaba.
chanzo>udakublog
0 comments:
Post a Comment