NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

LIVE KUTOKA TAIFA: YANGA 1-0 NDANDA FC





Dk 40, mchezo unabadilika na suala la ubabe linatawala
Dk 30 hadi 35, Ndanda wanaonekana kuamka, sasa wanacheza vizuri
GOOOOOO Dk 27 Nonga anafunga bao safi la kichwa akiunganisha mpira wa mpira uliokufa wa Juma Abdul

Dk 23, bado mpira unaonekana umepooza, unachezwa zaidi katikati na mashambulizi ni machache kila upande

Dk 19, Dida analazimika kufanya kazi ya ziada kwa kutoka na kuuwahi mpira miguuni mwa Atupele Green
Dk 13, Kelvin Yondani anapanda juu vizuri na kupiga shuti kali, lakini anapaishaa juuu

DK 8 hadi 11, zaidi mpira unachezwa katikati ya uwanja
Dk 7, Mponda anafunga bao safi pasi ya Lucian, lakini mwamuzi anasema aliotea
Dk 4, Nonga yeye na kipa, anapiga shuti na kumlenga, kipa wa Ndanda naye anapangua
Mpira unaanza, dakika mbili za mwanzo timu zinaonekana kuanza kwa kutegeana.
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment