Wananchi wenye hasira Kali wamechoma
moto nyumba na gari pamoja na kumpa kichapo kikali mama mwenye nyumba
hiyo anaye fahamika kama MAMA MKASI kwa tuhuma za uchawi na kufuga
watoto wezi kwenye nyumba yake.
Kabla ya kuchoma moto nyumba hiyo juzi
walimkamata kijana wake mama huyo anaye fahamika kama MKASI ambae ni
tapeli maarufu jijini mbeya anye daiwa kuwa kiongozi wa vibaka jiji zima
na kumuonya juu ya tabia zake.
Hali ikawa mbaya zaidi leo majira ya saa
3 asubuhi walipochukua sheria mkononi ya kumvamia mama huyo na kisha
kuchoma moto nyumba yake pamoja na Gari moja, Jeshi la Polisi na Zima
moto walifika lilifika katika eneo la tukio.
News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.
RELATED POSTS
Wananchi wateketeza nyumba na Gari Mbeya
Reviewed by Newspointtz
on
18:28:00
Rating: 5
0 comments:
Post a Comment