NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

ZEC Yatangaza Majina 22 ya Wajumbe wa Viti Maalumu CCM



Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza majina 22 ya wajumbe wa viti maalumu wa Baraza la Wawakilishi, wote kutoka CCM.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jecha Salim Jecha, wajumbe hao ni Salama Aboud Talib, Shadya Mohamed Suleiman, Bihindi Hamad Khamis, Salma Mussa Bilal, Mwanaidi Kassim Mussa, Panya Ali Abdalla, Mgeni Hassan Juma na Zaina Abdalla Salum.

Wengine ni Salha Mohammed Mwinyijuma, Zulfa Mmaka Omar, Lulu Msham Abdalla, Wanu Hafidh Ameir, Saada Ramadhani Mwenda, Tatu Mohamed Ussi na Amina Idd Mabrouk.

Jecha aliwatangaza wawakilishi wengine wa viti maalumu kuwa ni Choum Kombo Khamis, Mtumwa Suleiman Makame, Mwantatu Mbaraka Khamis, Riziki Pembe Juma, Viwe Khamis Abdalla, Hamida Abdalla Issa na Hidaya Ali Makame.
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment