NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Navy Kenzo wala shavu la ubalozi Airtel Tanzania


12940775_1298942763465615_406636337_n


Uwekezaji wao sasa umeanza kulipa. Kundi la Navy Kenzo limepata shavu la ubalozi wa promotion mpya ya Airtel.
 
Kundi hilo linaloundwa na Nahreel na mchumba wake Aika litakuwa balozi wa promotion ya Jipimie Airtel Yatosha.
“Tunapenda kuwataarifu rasmi kama Navy Kenzo ni Ambassador wapya wa #JipimieAirtelYatosha ambayo ni bundle mpya na za kipekee wewe kama mteja unaweza kujipimia chochote utakacho iwe dakika, sms au Mb pekee au vyote tu piga *149*98# #jipimieyatosha,” wameandika kwenye Instagram.
12940190_1781830858715678_1292760196_n
Navy Kenzo wamejipatia umaarufu Afrika kwa ngoma zao, Game na Kamatia zenye video kubwa na za gharama.
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment