Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na
mkewe Mama Janeth Magufuli wakishuhudia wenyeji wao Rais Paul Kagame na
Mama Janeth Kagame pamoja na binti yao wakiweka shada la maua katika
viwanja vya Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbali mjijini Kigali, Rwanda, leo
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na
mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwa na wenyeji wao Rais Paul Kagame na
Mama Janeth Kagame wakiwasili katika viwanja vya Kumbukumbu ya Mauaji ya
Kimbali mjini Kigali, Rwanda, leo katika maadhimisho ya kumbukumbu ya
miaka 22 ya mauaji hayo yaliyotokea mwaka 1994 ambapo watu takribani
milioni 1,000,000 waliuawa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na
mkewe Mama Janeth Magufuli wakiweka shada la maua wakishuhudiwa na
wenyeji wao Rais Paul Kagame na Mama Janeth Kagame wakiweka shada la
maua katika viwanja vya Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbali mjijini Kigali,
Rwanda, leo
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na
Rais Paul Kagame kwa pamoja wakiwasha "Urumuri Rutazima" (Mwenge/mwali
wa Matumaini) katika maadhimisho Kumbukumbu ya miaka 22 ya Mauaji ya
Kimbali mjijini Kigali, Rwanda, leo
0 comments:
Post a Comment