Star wa Bongo Star Seach (BSS) 2015 Kayumba Juma aliwahi kuwa mfanyabiashara ndogo ndogo almaarufu kama “machinga” akiuza mitumba katika Soko la Mburahati Jijini Dar es Salaam na kukumbana na changamoto kadha wa kadha ikiwemo ya kuzushiwa wizi ndipo alipoamua kuingia kwenye ‘hussle’ ya muziki hadi BSS ilipomtambulisha rasmi.
BELLE 9 ASIMULIA ALIVYOFANYA KAZI KIWANDA KIMOJA NA MAMA YAKE
Star wa Bongo Star Seach (BSS) 2015 Kayumba Juma aliwahi kuwa mfanyabiashara ndogo ndogo almaarufu kama “machinga” akiuza mitumba katika Soko la Mburahati Jijini Dar es Salaam na kukumbana na changamoto kadha wa kadha ikiwemo ya kuzushiwa wizi ndipo alipoamua kuingia kwenye ‘hussle’ ya muziki hadi BSS ilipomtambulisha rasmi.
0 comments:
Post a Comment