Timu
tatu zilizoteremka daraja kutoka Ligi Kuu England hadi daraja la
kwanza, sasa zimejulikana baada ya mechi zilizoisha hivi punde.
Aston
Villa ambayo iliishajulikana, imepata wa kwenda nao ambao ni Norwich
City ambayo imefanikiwa kushinda kwa mabao 4-2 lakini ikashindwa
kujiokoa na Newcastle ambayo ushindi wa mabao 3-0 ilioupata Sunderland
kutoka kwa Everton, umewadondosha.
Hivyo
Kocha Rafa Benitez mwenye rekodi ya kubeba kombe la Ligi ya Mabingwa
Ulaya akiwa na Liverpool, sasa ameteremka daraja akiwa na Newcastle
ambayo alipewa aiokoe.
0 comments:
Post a Comment