NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Wolper na Harmonize sio utani: Ona Wolper akichuma matembele ukweni kwa kina Harmonize


Kama ulifikiri Harmonize anatania juu ya Wolper basi anza kubadili mawazo yako, ukiacha wikiend iliyopita ambapo Harmonize alimtambulisha stejini mama yake na mpenzi wake mpya Wolper Mtwara ambapo ni kwao na kina Harmonize leo kaweka picha WOLPER akichuma matembele hii hapa.



Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment