Beki wa Mbeya City, Tumba Luis Swedi akiudhibiti mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma jana |
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akinyoosha mguu kuuzuia mpira unaopigwa Tumba Lui Swedi wa Mbeya City |
Winga wa Yanga, Simon Msuva akitoa pasi mbele ya beki wa Mbeya City, Hassan Mwasapili |
Donald Ngoma wa Yanga akipasua katikati ya wachezaji wa Mbeya City jana Uwanja wa Sokoine |
Refa Jimmy Fanuel wa Shinyanga akizungumza na wachezaji wa timu hizo jana kuwaoa maelekezo ya maamuzi yake |
News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook
, Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.
0 comments:
Post a Comment