NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Ruby ,Aslay wa Yamoto Band ni couple mpya mjini

image
Imekuja kama surprise kwa wengi na kama wasemavyo waswahili ‘penzi ni kikohozi kulificha huliwezi’ ndege hao wawili mahabuba wamejimwayamwaya hadharani kuoneshana jinsi wanavyopendana na mashallah, wamedhamiria kweli! 
Ni wikiendi iliyomalizika ndipo uwepo wa couple hiyo ulifahamika lakini tofauti na nyingi ambazo huanza kwa tetesi, wawili hao hawakutaka kungoja bali wao wenyewe kuufunulia ulimwengu hisia za mioyo yao.
Haweshi kupostiana na kumwagiana jumbe tamu tamu! 
Tazama post zao hapo chini.
image
image
image
image
image
image
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

1 comments: