Katika mashtaka ya kwanza ni la kutuma
ujumbe mfupi wa maneno kutoka kwake kwenda kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha,
Mrisho Gambo. Mashtaka ya pili, kutumia Whatsapp kwa ajili ya
kuwashawishi wananchi wa Jiji la Arusha, kuandamana Septemba mosi.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment