KAULI ya
Rais John Magufuli, kwamba Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (Zec)
Jecha Salim Jecha, anasitahili kupewa tuzo kwa kufanikisha uchaguzi wa
marudio imewakera wanachama wa Chama cha wananchi (CUF).
Mkurugenzi wa Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa CUF, Salim Bimani
Abdalla alisema chimbuko la mgogoro wa Zanzibar ni Mwenyekiti wa Zec
huyo baada ya kufuta matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka jana
kinyume na Katiba na Sheria ya Uchaguzi.
Alisema katika uchaguzi huo ripoti za
waangalizi wa uchaguzi wa ndani na nje, wakiwemo Umoja wa Ulaya (EU),
Jumuiya ya Madola, Marekani na Uingereza walisema ulikuwa huru na wa
haki.
News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.
RELATED POSTS
KAULI YA JPM YA KUTAKA JECHA APEWE TUZO YAZUA TAFRANI CUF
Reviewed by Newspointtz
on
09:49:00
Rating: 5
0 comments:
Post a Comment