NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Picha 6 za vijana walioshiriki siku ya mazingira duniani

Baadi ya wawezeshaji katika maadhimisho ya siku ya utunzani mazingira duniani jana katika ukumbumbi  Wa  Freedom square uliyopo chuo kikuu cha SUA, Mazimbu Morogoro
Baadi ya wawezeshaji katika maadhimisho ya siku ya utunzani mazingira duniani jana katika ukumbumbi  Wa Freedom square uliyopo chuo kikuu cha SUA, Mazimbu Morogoro

Mmoja wa wakufunzi katika maadhimisho hayo aliyemaliza katika chuo cha SUA Mazimbu fakati ya science mwaka 1993 akiwaelezea vijana umuhimu wa kujitambua, jana katika ukumbi wa Freedom square chuoni hapo
Picha ya pamoja kati ya vijana wanafunzi wa chuo cha SUA fakati ya science na wakufunzi,jana baada ya kuhitimisha semina ya maadhimisho siku ya utunzaji mazingira duniani.
 

Muwakilishi wa Global peace foundation Tanzania, Kamara Dickson akielezea jambo kuhusu nafasi ya vijana katika kuyatunza mazingira mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) jana katika chuo cha SUA Mazimbu mkoani Morogoro

Theresia Chua, mmoja kati ya wadhuliaji katika maadhimisho hayo akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari ( hawapo pichani) jana kuhusu faida aliyoipata baada ya kumalizika kwa semina hiyo
Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment