KIPA Juma Kaseja hatoichezea Mbeya city
dhidi ya Simba leo Jumapili katika mchezo wa Ligi Kuu Bara baadaya
kuongezewa muda zaidi wa kushughulikia mambo yake ya kifamilia.
Kocha wa Mbeya City, Kinnah Phiri
amethibitisha kuwa kaseja hatokuwa sehemu ya wachezaji wake watakaocheza
dhidi ya Simba kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Phiri amesema ratiba ya mwanzo ilikuwa
waungane na Kaseja Juzi Ijumaa asubuhi katika kambi waliyopiga ya muda
mkoani Morogoro lakini amemuongezea kipa huyo muda zaidi wa kuwa karibu
na Familia yake ili kushughulikia masuala kadhaa ya kifamilia ni imani
yangu kuwa ataungana na kikosi mara tu atakaporejea Mbeya.
“Ni imani yangu ataungana na kikosi mara tu atakaporejea Mbeya kujiandaa na mchezo dhidi ya Stand United”. Alisema Phiri
Kaseja aliondoka Mbeya City baadaya mchezo wa Kombe la FA dhidi ya Prisons baada ya mkewe kujifungua watoto mapa
News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.
RELATED POSTS
KASEJA NJE YA KIKOSI SIMBA V/S MBEYA CITY TAIFA LEO
Reviewed by Newspointtz
on
12:31:00
Rating: 5
0 comments:
Post a Comment