NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Madee amfanyia ‘surprise’ Dogo Janja, amnunulia Mercedes Benz



Baada ya kuachia nyimbo mpya ‘My Life’ siku kadhaa zilizopita, msanii Dogo Janja amefanyiwa surprise ya kukabidhiwa gari aina ya Mercedes Benz na mmoja ya wasanii wanaomsimamia, Madee.

Surprise hiyo ilifanywa wakati Dogo Janja akiwa katika kipindi cha Ala za Roho kinachoruka kupitia Clouds Fm.

Awali Dogo Janja alikuwa hajafahamu kama Madee atafika na wakati yeye akiendelea na interview, Madee aliingia na kumkabidhi ufunguo hali iliyomfanya Dogo Janja aanze kulia na kushindwa kuzungumza.

Unaweza kutazama video hapa chini wakati Dogo Janja akikabidhiwa gari.


Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment