NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

SUGU KUACHIA NGOMA MPYA “FREEDOM”

 SUGUU

Mbunge wa mbeya mjini kupitia chama cha democrasia na maendeleo Chadema Joseph Mbilinyi kama anavyo fahamika Mr II Sugu anataka kurudi katika ‘game’ ya muziki wa bongo fleva

Mbunge huyo ambaye sasa ameingia muhula mwingine bungeni mara baada ya kupata kura za kutosha uchguzi mkuu wa octaba 2015

kupitia ukurasa wake wa instagram ameweka post ambayo inamuonesha anarudi katika ‘game’ la muziki baada ya kukaa nje kwa miaka  mitano bila ya kutoa ngoma yoyote

amesema kuwa “I cant leave Hip Hop alone” kisha juu katika ‘cover’ anaonekana SUGU FT LIZZY ngoma hiyo amefanyia MJ record producer DAXO  CHALI

Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment