NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

UEFA KUENDELEA LEO JE?ARSENAL KUFUZU ROBO FINAL



1 

Kikosi kizima cha Arsenal kimeshafika Hispania na leo hii wamefanya mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mechi yao ya kesho dhidi ya Barcelona.

Mechi ya kwanza Arsenal walifungwa kwa magoli 2-0 kwenye uwanja wa Emirates na kesho watajaribu kugeuza matokeo kama wataweza ili kusonga mbele kwenye UEFA.
Hizi ni picha za kikosi cha Arsenal chini ya manager Wenger wakifanya mazoezi.
2 3 4 5 6 7 8 mzee

 


Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment