Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kutoka
mkoani Singida, Christina Mughwai Lissu (CHADEMA) amefariki dunia leo
kwa ugonjwa wa kansa. Alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Aghakhan
jijini Dar es Salaam.
Marehemu Christina ni dada wa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi AMEN
News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.
RELATED POSTS
Mbunge Christina Mughwai Lissu Afariki Dunia
Reviewed by Newspointtz
on
06:49:00
Rating: 5
0 comments:
Post a Comment