NEWSPOINTTZ.BLOGSPOT.COM

Mbunge Christina Mughwai Lissu Afariki Dunia

               MBUNGE LISSU

                                   Christina Mughwai Lissu enzi za uhai wake.

Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kutoka mkoani Singida, Christina Mughwai Lissu (CHADEMA) amefariki dunia leo kwa ugonjwa wa kansa. Alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Aghakhan jijini Dar es Salaam.

Marehemu Christina ni dada wa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi AMEN


Share on Google Plus

News Point inakusogezea habari kubwa za kila siku kutoka kila kona ya dunia. Ungana nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagaram ili uwe wa kwanza kupata habari.

0 comments:

Post a Comment