Kocha
wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho ameeleza azma yake ya kurejea
kufundisha soka msimu ujao huku akieleza kuwa ataangalia wapi ni sehemu
sahihi kwake kufundisha.
“Nataka
kufanya kazi, nitafanya kazi msimu ujao, nitafikiri na kuangalia sehemu
ambayo ninaitaka, ninataka kuwa sehemu ambayo naamini wananihitaji,
“Kuhitajika
sehemu ndiyo jambo ninalotaka na nitaonyesha uwezo wangu baabda ya
miezi michache kuongeza nguvu mpya, nitarudi na kila kitu na mengine
Zaidi. Nitakwenda sehemu ambayo ninahitajika na nitajihisi kuwa huru na
nitafanya kila jambo ninaloweza,” alisema Mourinho.
0 comments:
Post a Comment